Posts

KILIMO CHA UMWAGILIAJI (BUSTANI)

     Habari wapendwa wasomaji wa ukurasa huu, natumaini mu wazima wa afya njema popote pale mlipo, lakini pia ningependa kutumia nafasi hii kuwakumbusha wasomaji wangu kuendelea kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa huu wa COVID-19 kama inavyoshauriwa na wataalamu wa afya. Leo napendaa kujadili juu ya kilimo cha umwagiliaji (bustani), kilimo hiki ni moja ya kilimo cha muda mfupi na kinacholipa zaidi kama utaweza kuzingatia vyema kwani hukua takribani miezi mitatu mpka minne    Ili kilimo hiki kiwe chenye manufaa kwako yakupasa ufuate baadhi ya taratibu ambazo tutazijadili katika uzi huu, ili uweze kujikwamua na umasikini kwa kupitia aina hii ya kilimo yakupasa ufanye yafuatayo     Tafuta eneo ambalo eneo ambalo upatikanaji wa maji ni wa mwaka mzima , yaani mwaka mzima maji hayakati labda kupungua tu. Hii itarahisisha /itakurahisishia wewe mkulima wa kilimo hiki katika harakati za umwagiliaji na kufanya mazao yako yawe yenye afya na bor...

DHANA YA KAMUSI

WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA CHUO CHA UALIMU CHA MT. MAURUS MADA NDOGO :KAMUSI YA LUGHA  MWALIMU WA SOMO:LAMECK MASAWALI  Nini maana ya kamusi?  Umuhimu wa kamusi  Mambo ya kuzingatia katika kamusi  Sifa za kamusi kubwa na kamusi ndogo  WASHIRIKI  Masal Masal  James Kalua  KAMUSI YA LUGHA; MAANA, AINA, TAARIFA NA DHIMA ZAKE. MAANA YA KAMUSI Massamba  (2012:24) kamusi ni kitabu cha orodha ya maneno katika lugha, yaliyopangwa kwa utaratibu maalum, pamoja na maana au fasili zake; katika uchanganuzi wa lugha haya ni maneno ya kileksika, yaani yasiyokuwa ya kisarufi au kifonolija. Tuki  (1990:21) kamusi ni kitabu cha orodha ya maneno yaliyopangwa kwa utaratibu maalum, pamoja na maana na fasili zake. Wamitila  (2003:76) kamusi ni kitabu ambacho kina orodha ya maneno katika lugha Fulani ana ambayo hupangwa ki-abjadi au kialfabeti. Maneno haya huelezewa maana zake mbalimbali na labda hata vyanzo vyake. Matinde  (201...

NANI MKALI KATI YA ALEXANDER MASHUHURI WA UGIRIKI NA PORUS WA INDIA?

Image
Habari za jioni wakuu bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada Natumaini wote tumeshasikia mengi sana kuhusu alexander the great ila kuna mambo machache yananitatiza na tusaidiane kujuzana kuhusu mtawala huyu.  ALEXANDER NI NANI Alexander III wa Macedonia alizaliwa 20/21 July 356 BC na kufariki 10/11 June 323 BC (Miaka 33) maarufu kama Alexander the Great aliyekuwa mfalme wa nchi ya makedonia iliyokuwa ndani ya ufalme wa kigiriki na alitumia muda wake mwingi wa maisha kupigana vita za kuteka miji mbalimbali ili kuongeza ufalme wake UMAARUFU WAKE  Umaarufu wake ulikuja baada ya kuwa mwanajeshi asiyewahi kushindwa vitani na kufikia umri wa miaka 30 alikwisha angusha falme zote kubwa zilizokuwa tishio kati ulimwengu wa kale akitandika mataifa makubwa kuanzia ulaya,Afrika hadi Asia hivyo anatazamiwa kuwa commander bora zaidi wa kijeshi katika historia. ALEXANDER AKIWA INDIA baada ya kupata picha kidogo ya nani anazungumziwa twende moja kwa moja kwenye swali la...

HISTORIA YA ALEXANDER MAHUHURI WA UGIRIKI

Image
Alexander III wa Macedon (20/21 July 356BC-10/11 June 323BC), alijulikana kama Alexander the Great, alikuwa Mfalme wa Ugiriki falme ya Macedon na pia mmoja wa wanafamilia wa family ya Kifalme ya Ugiriki (Agead dynasty). Alizaliwa mjini Pella mwaka 356 BC, Alexander alimrith baba yake Philip II, katika ufalme akiwa na umri wa miaka 20. Alitumia muda wake mwingi wa utawala katika kuongoza majeshi yake kwa upana na urefu kupitia Asia na North Africa, akiwa na miaka 30 alikuwa amejijengea moja katika falme kubwa katika historia ya dunia, iliyotokea Ugiriki mpaka India. Hakuwahi kushindwa katika vita na inaaminika mpaka leo kuwa ni komandoo wa jeshi ambae hajawahi kutokea. Katika ujana wake, Alexander alikuwa mwanafunzi wa mwanafilosofa Aristotle mpaka kufikia umri wa miaka 16. Aristotle ni mwanafilosopher ambae kanuni zake za ethics bado zinatumika katika ulimwengu wa leo, katika masomo Alexander aliyosoma ilkiuwa ni pamoja na biology, zoology, physics, logic na mengineyo. Baada ya kuuwaw...

ADOLF HITLER

Nani ambaye hamjui Dikteta Adolf Hitler? Adolf Hitler ni mtawala maarufu zaidi katika karne ya ishirini, kiongozi wa chama cha Kinazi aliyeitawala ujeruman kati ya mwaka 1934 mpaka 1945. Kama ulikuwa hujui, hitler ndiye mwanzilishi mkuu wa vita ya pili ya dunia. Yafuatayo ni mambo usiyoyajua kuhusu Adolf Hitler.     Alipendelea zaidi kuangalia Filamu za mauaji, wafuasi wake walipenda kurekodi video pale walipokuwa wanawauwa wafungwa na kumpelekea Hitler!     Adolf Hitler Ndiye aliyeanzisha sheria ya kutovuta sigara hadharani. Alikuwa mvuta sigara enzi za ujana wake na alikuja kuacha baadae akidai ni utumiaji mbaya wa fedha.      Licha ya kufurahia Kuua sana binadamu, adolf alipinga sana ukatili wa wanyama, na alikuwa hali nyama ya aina yeyote ile. Hitler aliokolewa kufa maji na mfanyakazi wa kanisa alipokuwa na umri wa miaka minne (4), na kwa kipindi hicho, hitler ilipenda saana awe mfanyakazi wa kanisa akiwa mkubwa.   ...

SUNFLOWERS

Sunflowers are widely cultivated in Shinyanga, Singida, Dodoma, Iringa, Tabora, Morogoro, Ruvuma, Mbeya, Arusha, Manyara, and Rukwa. This crop is cultivated for food and business. MODEL IMPORTANT TO IMPLEMENTAL INSTALLATION Choose the best type of seed - Choose the best type of seed tolerant germs, insects, which produce most products and a large amount of fat. - Also select the type of seed that grows at the same time to simplify the harvesting. SETTING FERTILIZER - enriching the soil with compost and manure fertilizers to obtain high yield and good quality. SUCCESSFUL MEMORIALS AND SPECIALS Sunflowers are attacked by diseases of leaves, roots and cereals that cause yield deficiency. So it is important to control it in order to get more yields and better. Also the plane reduces yields by 50% or more. The way to control the aircraft is to drive them out and plant early-growing seeds. BACKGROUND TO WANT; KNOWLEDGE Check the field to see if the sunflower has grown. Sun...

CARROT CULTIVATION

Carrots are their vegetable roots, which are their roots, usually found in citrus, red, yellow. Current carrots have been produced due to wild carrots, Daucus carota. Carrots are widely used for extraction of the rust as a link on the vegetables or on the pickle and also have great benefits in the body by providing you with vitamin A and C with iron minerals, especially when someone needs it. CLIMATE CONDITION Carrots require a very cold, very cold atmosphere, between 15 and 27 degree degrees of galaxy. As the coastal region is very hot, the carrots should be cultivated in the winter months, carrots that come from cool environments have a good taste and aroma. Soft and soft sandy soil is suitable for carrot cultivation, potato soil and heavy soil production products. PUBLISHING PROJECTS Carrots require a Carrot Farmer for a tractor, for a canoe in a depth of 30 to 45 cm deep to the ground. The farmer should prepare an elevation of 28 to 40 cm in the field, with a 1 m wide widt...